Baby Gal lyrics by Mad Ice - original song full text. Official Baby Gal lyrics, 2024 version | LyricsMode.com
Request & respond explanations
  • Don't understand the meaning of the song?
  • Highlight lyrics and request an explanation.
  • Click on highlighted lyrics to explain.
Mad Ice – Baby Gal lyrics
[Chorus:]
Kila kitu nachofanya unaona hakifai baby gal, mimi nifanyeje?
Nimefanya mambo mengi nikuridhishe wee lakini gal, You driving me crazy.
Nifanye kitu gani uelewe!
Nifanye jambo gani uridhike!
... Baby gal... (rough voc)

[Verse:]
Nilihitaji unionyeshe mapenzi, Ooh ulinionyesha.
Sikuhitaji unifanyie upuuzi, Ooh ungenikondesha.
Nilikupa chochote ulichotaka, mradi nisione unahangaika.
Lakini bado ulinifanyia pupa, tamaa kichwani zilikuzunguka.
Nilihisi labda umenichoka, kumbe tamaa tu zinakuhangaisha.
Nionyeshe mapenzi na huba, hivyo vyote mpenzi vinapita x2

[Chorus: X2]

[Verse 2:]
Ulimtamani mwenye simu mkononi, Ooh nami nikanunua.
Ulimtamani mwenye dreads kichwani, Ooh kama nywele nikafuga.
Ulinifanya nisifiwe njiani, eti kwa kuwa mii najithamini.
Ila ukweli wangu upo moyoni, upendo wangu kwako niliuamini.
Kama gari, fedha, nyumba nilikupa.
Lakini bado penzi letu liliyumba.
Ulitamani vingine vilivyo bomba, Oh uwo uwo navyo ulipata.

[Chorus: X2]

[Bridge:]
Napenda kukuona ukifurahi lakini jua tamaa haifai.
Sasa nataka, unieleze unachotaka.
Sio unione, mimi kama takataka.
Kila nachofanya, kukiona kama taka.
Utani force. Kamba yetu kuikata.
Wakati muda, bado haujawadia.
Baby gal baby gal, Hey iyeah iyeah.

[Chorus: X2]
End!
×



Lyrics taken from /lyrics/m/mad_ice/baby_gal.html

  • Email
  • Correct
Submitted by Recordhouse

Baby Gal meanings

Write about your feelings and thoughts about Baby Gal

Know what this song is about? Does it mean anything special hidden between the lines to you? Share your meaning with community, make it interesting and valuable. Make sure you've read our simple tips.
U
Min 50 words
Not bad
Good
Awesome!

Post meanings

U
Min 50 words
Not bad
Good
Awesome!

official video

Featured lyrics

0-9 A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z